KARIBU

Alhamisi, 25 Septemba 2014

TI KUTUA LEADERS CLUB FIESTA 2014(SAMBAZA UPENDO

TI KUTUA LEADERS CLUB FIESTA 2014(SAMBAZA UPENDO)
Akitangazwa kupitia kipindi cha XXL akiwepo Fetty na B12, watangazaji hao walihesabu kuanzia 10 mpaka 0 ilimradi tu kuwapa kiraruraru wasikilizaji wao na mwisho wa siku wakamtangaza msanii wa kimataifa T.I kutoka Marekani kuwa ndie atakaefanya makamuzi ndani ya Serengeti Fiesta 2014, itakayofanyika tarehe 18 October 2014 kwenye viwanja vya Leaders Club

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni